22.11.13

Thursday, April 26, 2012

NEW TRACK: Nisher - SO FRESH

Leo namtambulisha kwenu kijana wakitanzania anaitwa Nisher ama Nic Davie amezaliwa mwaka 1989.
Huyu ni producer, mwandishi wa nyimbo, mmiliki wa studio ya kurekodi muziki mjini Arusha na muongozaji wa video za muziki. Alianza muziki tangu mwaka 2000. Aliamua kwenda Marekani mwaka 2005 kusomea masuala muziki na Televisheni. Ana record lebo yake mwenyewe iitwayo NISHER ENTERTAINMENT yenye makazi yake Arusha. 
Sikiliza wimbo wake huu mpya halafu unipe maoni yako>>>

2 comments:

Anonymous said...

maneno tuache watanzani jamaa ametulia na ngoma imetulia apo sna alichopatia bit ni noma snaaaaaaaaaaaa

Mamatembo said...

awesome track.